1 Samuel 10:20-21

20 aSamweli alipoyasogeza makabila yote ya Israeli, kabila la Benyamini likachaguliwa. 21 bKisha akalisogeza mbele kabila la Benyamini, ukoo kwa ukoo, nao ukoo wa Matri ukachaguliwa. Mwishoni Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa. Lakini walipomtafuta, hakuonekana.
Copyright information for SwhNEN